AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchungaji mjasiriamali, Masanja Mkandamizaji ametoa ushauri kwa Mwanamuziki Maarufu nchini, Diamond Pltanumz kuoa mapema kwani akichelewa anaweza kuoa mganga wa kienyeji.
Masanja amesema kuwa watu wajiulize kila mtu anayetaka kuolewa na Diamond anasema mara analoga familia, hivyo amemtaka kuoa mapema ili kuepuka kuja kuoa mdada anayenuka mitishamba.
"Diamond Platnumz oa mapema utakuja kuoa mganga wa kienyeji, wewe jiulize hivi kama wewe huoi sasa hivi nimesikia kila mdada anayetaka kuolewa leo na Diamond nimesikia eh wananiloga na wanaloga familia kama mdada wa kwanza unaenda naye alafu humuoi, pili nae humuoi, watatu mwisho wa siku utaoa kadada kanako nuka mitishamba, Oa mapema ndugu yangu unangoja nini?, Masanja ameiambia Wasafi Tv.
Diamond Platnumz kwasasa anatoka kimapenzi na Natasha kutoka nchini Kenya, ambapo mpaka sasa haijajulikana kama atamuoa mrembo huyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK