Jambo usilolijua kutoka kwa Madee na Rayvanny

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Msanii wa Muziki, Madee amefunguka kama kuna mawasiliano kati yake na RayVanny baada ya kuwahi kufanya nae kazi Tip Top Connection alipoanzia.

"Mahusiano ya way back na sasa hivi hayawezi kuwa sawa, mimi plan zangu nikuona mtu anaendelea kwenye maisha yake yaani anatimiza kile anachokiota, Mwanzo lazima mahusiano yawe karibu sana kwasababu tunalala wote tunaamka wote tunawasiliana muda wowote," alisema Madee.

"Kwasasa hivi lazima kuwe kuna vitu vinapungua,kwasababu sasa hivi hawezi kunipigia simu kuniomba 2000, 3000 kwasababu anayo, sasa hivi hawezi kunipigia simu kuniomba gari kusema aende sehemu fulani kwasababu analo lakini heshima bado iko pale pale ananiheshimu na anaheshimu kila kitu kilichotoka kwangu hakuna kitu chochote kilichobadilika."

Kwasasa Rayvanny ni msanii aliyesainiwa kwenye lebo ya WCB Wasafi iliyo chini ya msanii Diamond Platnumz.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad