AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa Muziki, Diamond Platnumz amesema kuwa mpenzi wake, Tanasha atakuwa na Programu Wasafi Tv.
Diamond amesema kuwa mpenzi wake huyo ambaye ni Mtangazaji ana vipindi kuanzia Jumatatu mpaka siku ya Alhamisi ambapo akimaliza vipindi hivyo Ijumaa anatua Bongo kuja kuwa kera watu.
"Atakuwa na Programu Wasafi TV," amesema Diamond Dizzim Online.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK