AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gadner amefanya hivyo kama kutimiza zoezi linaloendelea wa sasa katika mitandao ya kijamii linalohusiana na kuonyesha picha za zamani , ambapo kwa upande wa mtangazji huyo aliona sio mbaya kuweka picha hiyo na mkewe wa zamani.
Hata hivyo picha hiyo ilishangaza watu kidogo kwa sababau wawili hao zilikuwa haziivi ivyo kuwekwa kwa picha hiyo imeleta taswira kuwa wawili hao wanaweza kuwa wamemaliza tofauti zao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK