AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mara ya kwanza tangu muimbaji huyo kufiwa, amechapisha ujumbe kwenye mtandao wa kijamii kuelezea kifo cha baba yake.
"Nawashukuru wote walioshiriki katika mazishi ya mzee wangu Na wale ambao hawakujaaliwa pia mimi Na familia yangu tumefarijika sana namuomba MUNGU ailaze roho ya marehemu mahali Pema peponi Na atupe subira kwenye kipindi hiki kigumu AMIN," ameeleza Alikiba.
Kabla ya kufariki Mzee Saleh Kiba alikuwa akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili toka December 27 mwaka jana hadi umauti ulipomfika, alizikwa jana katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK