Hii Hapa Kauli ya Kwanza ya Alikiba Baada ya Kifo Cha Baba Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hii Hapa Kauli ya Kwanza ya Alikiba Baada ya Kifo Cha Baba Yake
Mapema alfajiri siku ya jana Baba wa msanii wa msanii wa Bongo Fleva, AliKiba alifariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alipokuwa amelazwa.

Kwa mara ya kwanza tangu muimbaji huyo kufiwa, amechapisha ujumbe kwenye mtandao wa kijamii kuelezea kifo cha baba yake.

"Nawashukuru wote walioshiriki katika mazishi ya mzee wangu Na wale ambao hawakujaaliwa pia mimi Na familia yangu tumefarijika sana namuomba MUNGU ailaze roho ya marehemu mahali Pema peponi Na atupe subira kwenye kipindi hiki kigumu AMIN," ameeleza Alikiba.

Kabla ya kufariki Mzee Saleh Kiba alikuwa akipatiwa matibabu Hospitali ya Taifa Muhimbili toka December 27 mwaka jana hadi umauti ulipomfika, alizikwa jana katika makaburi ya Kisutu Dar es Salaam.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad