AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Idris amesema kuwa sio kila mwanamke anayekuwa karibu naye ni mpenzi wake, kwani ana marafiki wengi wa kike na hajawahi kuwa na uhusiano.
"Mimi kuongozana na Hamisa sio kitu cha ajabu maana ni washikaji kitambo", amesema Idris.
“Halafu mmesahau kwamba mimi na Hamisa ni washkaji kitambo tu?. Sasa kwa nini leo muanze kusema natoka naye?, sio kila mwanamke ninayekuwa naye karibu basi natoka naye, wengine ni washkaji kama hivi", ameongeza.
Hivi karibuni kupitia mitandao ya kijamii zilisambaa taarifa zilizodai kuwa wawili hao wana uhusiano wa siri na wamekuwa wakiongozana kila mahali, hivyo kupelekea wengi kuhisi moja kwa moja kuwa wawili hao kuwa watakuwa kwenye uhusiano kwakuwa hakuna ambaye ameweka wazi uhusiano wake mpaka sasa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Idrisa anapenda makombo ya Diamond, Wema Plus sasa Mobetto
ReplyDelete