AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Pluijm ambaye alifanikiwa kuifikisha Yanga hatua ya makundi ya Shirikisho, amesema anaamini Simba wananafasi kubwa ya kupata matokeo iwapo wataamua kushirikiana.
Pluijm amesema ushindani kwenye hatua ya makundi ni mkubwa hasa ukizingatia kundi ambalo wamepangwa wana nafasi ya kupenya iwapo hesabu kubwa zitakuwa ni kushinda.
"Ushindani kwenye hatua ya makundi hasa wa Ligi ya Mabingwa sio sawa na huu wa kwenye Ligi Kuu Bara, nafasi pekee ambayo itawasaidia kuweza kupata matokeo ni kucheza wakiwa ni timu na siyo kumtegemea mchezaji mmoja.
"Kundi lao lina timu nzuri hawapaswi kubeza, timu zote zimejipanga na wajue kwamba kipindi cha kwanza kwa wapinzani huwa ni za ushindani hivyo wanapaswa kuwadhidibiti mapema na kupata matokeo ya haraka," alisema Pluijm.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK