AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Kituo cha Polisi Hai (OCD), Lwelwe Mpina ameagiza kukamatwa kwa Kumotola kwa kosa la kulizuia Jeshi la Polisi kuingia katika eneo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya hiyo ambapo maandamano hayo yalikuwa yaifanyika huku akifunga geti.
Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ameagiza kusitishwa kwanza kwa shughuli zote za chaguzi hizo kwa vyama vyote vya CCM na Chadema hadi pale ambapo Tume ya Taifa ya Uchaguzi itakapotoa maelekezo mengine.
Aidha, Sabaya amewaonya wanachama hao na wananchi waliofanya maandamano huku akiwataka wafuate sheria za nchi na za uchaguzi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK