AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa Wizara ya Usafirishaji ya Urusi, meli hizo zilikuwa na jumla ya watu 31 ambapo 16 ni Waturuki na 15 ni Wahindi na kwamba zimeteketea baada kutokea mlipuko mkubwa wakati wa kuhamisha mafuta kutoka kwnye tenki moja kwenda jingine.
Taarifa zinasema tukio hilo limetokea karibu na Mlango Bahari wa Kerch ambako pana msuguano mkubwa baina ya Russia na Ukraine, na katika siku za karibuni Russia ilitaifisha meli tatu za Ukraine zilizokuwa zikijaribu kupita sehemu hiyo.
Wanamaji wa Russia walijaribu kuwaokoa mabaharia wa meli hizo ambao walijirusha baharini ili kuokoa maisha hao.
Kikosi cha uokoaji nchini Urusi kimesema watu 12 wameokolewa wakiwa hai ambapo miili 11 ya ikiopolewa na miili mitatu bado haijapatikana.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK