Nikki wa Pili kalibutua BAKULI la Yanga...Utaratibu Wanaotumia Kuomba Pesa Sio Kabisa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkali wa BongoFleva Nikki wa Pili kutoka kundi la #WEUSI ameponda utaratibu unaotumiwa na klabu ya Yanga kuchangisha mashabiki kwa style ya #BAKULI uwanjani siku za mechi zao.

Nikki anasema hata kama leo akitoa 2M kesho hawezi kutoa tena kwa hiyo viongozi wa Yanga wanatakiwa kufikiria mbali na kubuni mifumo ambavyo vitaiingizia klabu mapato lakini haya mambo yakutozana sadaka hayawezi kuwa endelevu.

Full story tayari ipo #YouTube kupitia #DaudaTV unaweza kuangalia kwa kirefu zaidi uhauri alioutoa Nikki.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad