”UKWELI Kinachoendelea Kuhusu PETITMAN na Malkia Karen Kufumaniana”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Fahamu kuwa kumekuwa na maneno mengi kwenye mitandao ya kijamii kuhusiana na Petit Man wakuache kuhusishwa kutoka kimapenzi na mwimbaji wa Bongo Fleva Karen ambaye ni mtoto wa mtangazaji wa Clouds Fm Gardner G Habash.

Petit Man hakutaka hiki kitu kiendelee kwa upande wake maana hii sio mara ya kwanza kwa wawili hao kuhusishwa kimapenzi , hivyo Petit Man ameweka wazi kuhusiana na hiki kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii na hii ni baada ya picha yake kuwekwa na picha ya Karen na kuhusishwa kuwa walikuwa wote kwenye moja ya tukio.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad