AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Siku chache zilizopita Mitandaoni kulichafuka kufuatia kusambaa kwa picha inayomuonesha mwanaume mmoja akiwa amevaa dera huku pembeni akionekana Mwanamuziki Karen, na ubuyu kusambaa kuwa lilikuwa ni fumanizi la kufa mtu.
Global TV imemtafuta Kijana huyo ambaye alionekana akiwa amevaa dera anayeitwa Mapalala na kumuuliza ilikuwaje mpaka picha hizo zikasambaa.
VIDEO:
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK