Waandishi 28 Wakamatwa Wakidai Uhuru wa Vyombo vya Habari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mamlaka za nchi ya Sudani zimewakamata Waandishi hao waliojaribu kuandamana kudai uhuru wa vyombo vya habari

Wakiwa na mabango waliandamana hadi nje ya Ofisi za Usalama wa Taifa hilo wakidai kufunguliwa kwa gazeti la Al-Jareeda lililofungiwa

Wakati huo huo, Polisi walilazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya Madaktari walioandamana kuupinga utawala wa Rais Omar al-Bashir

Wananchi wa kada mbalimbali wamekuwa wakiendelea na maandamano ya kuipinga Serikali
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad