AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mamlaka za nchi ya Sudani zimewakamata Waandishi hao waliojaribu kuandamana kudai uhuru wa vyombo vya habari
Wakiwa na mabango waliandamana hadi nje ya Ofisi za Usalama wa Taifa hilo wakidai kufunguliwa kwa gazeti la Al-Jareeda lililofungiwa
Wakati huo huo, Polisi walilazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya Madaktari walioandamana kuupinga utawala wa Rais Omar al-Bashir
Wananchi wa kada mbalimbali wamekuwa wakiendelea na maandamano ya kuipinga Serikali
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK