AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zahera amesema licha ya timu yake na Singida United kutolewa lakini anaamini Tanzania bado inaweza kulibakiza kombe hilo nyumbani kutokana na uwepo wa timu za Simba na Mbao FC ambazo zinacheza leo.
''Mimi siwezi kuumia kwasababu tumetolewa ila nawatakia Simba watuwakilishe vizuri ili waifunge AFC Leopards na waende fainali wakachukue ubingwa huo ili usiondoke Tanzania'', amesema Zahera.
Leo kutakuwa na michezo miwili ya SportPesa Cup ambapo Tanzania itawakilishwa na timu mbili, Mbao FC ikicheza na Gor Mahia saa 8:00 mchana wakati Simba yenyewe itacheza na AFC Leopards saa 10:00 jioni.
Yanga jana ilitupwa nje ya michuano hiyo kwa kufungwa mabao 3-2 na Kariobangi Sharks kwenye mchezo wa robo fainali ya michuano hiyo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK