Ashushiwa Kichapo Baada ya Kugoma Kufanya Mapenzi na Mmewe Kinyume na Maumbile

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanamke mmoja mkazi wa Kijichi Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, anadai kupigwa na kujeruhiwa usoni ambako ameshonwa nyuzi sita na mumewe baada ya kumkatalia kufanya mapenzi kinyume na maumbile.


Akizungumza leo Alhamisi Februari 14, 2019 mwanamke huyo anadai mume wake amekuwa akimtaka wafanye mapenzi kinyume na maumbile muda mrefu lakini amekuwa akikataa kwa sababu ni haramu kwa mujibu wa mafundisho ya dini.

Akieleza zaidi alidai kwa muda mrefu ndoa yake imeingia kwenye mgogoro na mumewe amekuwa akimwambia kuwa hajui mapenzi.

“Alianza kunitaka kinyume na maumbile miezi mitatu tangu anioe nikamkatalia, mpaka nikapata mimba ikiwa na miezi sababu bado akawa anataka nikamkatalia,” anasema.

Amedai kuwa baada ya kufuatlia historia ya mumuwe, majirani wanaomfahamu walimweleza kuwa tabia hiyo ndiyo imesababisha kuachana na wake zake zaidi ya wawili.

Hata hivyo, mwanaume huyo amekanusha tuhuma hizo na kueleza kuwa mgogoro wa ndoa yake umesababishwa na wakwe zake wanaomdai mahari mpaka imefikia hatua ya kumweleza kuwa ni maskini.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad