Baraza la Wawakilishi Marekani lasitisha msaada kwa Saudi Arabia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baraza la Wawakilishi Marekani lasitisha msaada kwa Saudi Arabia
Baraza la Wawakilishi la Marekani lenye Wademokrat waliowengi limemkosoa Rais Donald Trump Jumatano na kupiga kura kusitisha msaada wa kijeshi unaotolewa na Marekani kwa majeshi ya ushirika yanayoongozwa na Saudi Arabia yanayo fanya mashambulizi nchini Yemen.

Kura zilikuwa 248 kwa 177 na ni mara ya kwanza kwa baraza hilo kutumia sheria ya War Powers Act.

Uamuzi huo sasa utapelekwa Baraza la Seneti ambalo lilipitisha hatua kama hiyo mwishoni mwa mwaka 2018, na kuwepo uwezekano wa kuzuka mvutano na White House.

Marekani imekuwa ikitoa msaada wa kipelelezi na vifaa kwa ushirika unaoongozwa na Saudi Arabia unaopigana na waasi wa kihouthi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen.

Vita hiyo imeuwa maelfu ya raia tangu mwaka 2014 na tayari imesababisha janga kubwa la kibinadamu katika moja ya mataifa maskini sana duniani na kufanya hali kuwa mbaya zaidi nchini humo.

Mashambulizi ya anga yanayoongozwa na Saudi Arabia yanayowalenga waasi yameharibu maeneo ya shule na mahospitali.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad