Harmonize Kuachia Ngoma Nne kwa Mpigo Daimond Ndani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Harmonize Kuachia Bonge la Ngoma Akimshirikisha Daimond
Msanii wa muziki wa Bongo Fleva kutoka katika lebo ya muziki ya WCB Harmonize ametangaza ujio wa ngoma yake mpya aliyoipa jina la AfroBongo muda wowote kuazia sasa hivi, aliyowashirikisha Diamond na Burna Boy kutoka Nigeria.


Kupitia ukurasa wake wa Instagram msanii huyo ameandika haya:-


Ingawa ameongeza kuwa ataachia nyimbo nne kwa wakati mmoja.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad