Wasanii Washauriwa Kuandaa Tamasha kwa Ajili ya Ruge

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wasanii Washauriwa Kuandaa Tamasha kwa Ajili ya Ruge
Wasanii wakubwa kwa wadogo nchini tanzania washauriwa na moja ya mashabiki katika mitandao ya kijamii kufanya tamasha kwa ajili ya kuachangisha pesa kwa ajilinya matibabu ya Ruge mutahaba ambae yuko hoi kitandani .

Kauli hiyo imekuja leo baada ya familia ya Ruge kutangaza uwa kwa sasa inakuwa ngumu sana hasa wa upande wafamilia kwa sababu pesa ya matibabu ya mgoinjwa kwa siku ni zaidi ya milion 5 huku wakiwa tayari waliashasaidia na baadhi ya viongzoi aiwepo mh rais.


Familia ya Ruge  inaomba kuwa kama kuna yoyote anaweza uchangia kwa namna yoyote basi aweze kuchangia ili kuendelea kupgania maisha ya mpendwa wao.

Hata hivyo kutokana na mchango mkubwa wa Ruge atika tasnia hii ya muzki, wasanii wameombwa kuandaa tamasha kwa ajili yake litakalolipisha mashabiki pesa ambayo iitaayopatikana itasaidia kwa ajili ya matibabu ya Bosi wao.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad