Madiwani Chadema Watwangana Ngumi DC Muro Aagiza Wakamatwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Madiwani Chadema Watwangana Ngumi DC Muro Aagiza Wakamatwe
Mkuu wa Wilaya ya Meru Ndugu, Jerry Muro, ameagiza askari kuwachukulia hatua za kisheria madiwani wawii wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao inasemekana walipigana ndani ya ofisi za Mwenyekiti wa Halmashauri ya Meru Mnamo Februari 04, mwaka huu Ambapo mpaka sasa Sababu za kupigana kwao bado hazijajulikana.

Mkuu wa Wilaya Muro ametoa maelekezo hayo wakati akimalizia salamu zake kwenye kikao cha baraza la Madiwani.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad