AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Julai 14 mwaka 2017 klabu ya Yanga kupitia kwa aliyekuwa katibu wake Mkuu kwa wakati huo, Charles Boniface Mkwasa ilimtambulisha, Jerry Muro kuwa msemaji wa timu hiyo na kutikisa sana katika nyanja ya kimichezo hasa kufuatia ushindani wake dhidi ya Haji Manara ambaye anatokea upande wa hasimu wao Simba SC.
Licha ya Jerry kuwa Mkuu wa Wilaya lakini ushawishi wake kwenye soka la Tanzania bado upo mkubwa hasa ukizungumzia klabu hizi mbili za kubwa za watani wa jadi Simba na Yanga.
Wiki iliyopita Yanga imejikuta ikipoteza mchezo wake dhidi ya Simba baada ya kufungwa bao 1 – 0 kwenye mechi ya ligi kuu soka Tanzania Bara.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK