AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja mawasiliano wa Wakala wa Huduma za Misitu (TFS), Glory Mziray kufariki dunia jana mchana Jumanne Februari 19, 2019.Glory amefikwa na umauti wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Hali yake ilibadilika ghafla muda mfupi baada ya kumaliza kusoma taarifa ya TFS kuhusu upandishaji hadhi wa misitu.
Inaelezwa kuwa meneja huyo alizungumza kwa uchangamfu na alipomaliza alionekana kama kuishiwa nguvu na kupoteza fahamu.
Alikimbizwa katika kituo cha Afya TMJ kilichopo Chang’ombe kwa ajili ya matibabu.
Baada ya kumfanyia uchunguzi madaktari wakaeleza kuwa Glory amefariki dunia kabla ya kufikishwa hospitalini hapo.
**********
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) anasikitika kutangaza kifo cha mtumishi wake Glory Water Mziray aliyekuwa Meneja Habari na Mawasiliano kilichotoke Jumanne 19 Februari 2019 mchana mara baada ya kujisikia vibaya akiwa anatekeleza majukumu yake kwa kuongea na waandishi wa habari ofisini na kukimbizwa katika Hospitali ya TMJ Temeke ambapo madaktari walithibitisha kuwa amefariki dunia. Mipango ya Mazishi inafanywa.
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe amen!
Imetolewa na
Utawala- TFS Makao Makuu
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK