Mnamuua Alikiba Mnapomlinganisah na Jux :-Chid Benz

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mnamuua Alikiba Mnapomlinganisah na Jux :-Chid Benz
Msanii  wa muziki wa kizazi kipya nchi wa siku nyingi , Chidi Benz amfunguka na kusema kwamba mashabiki na watu wa media wamekuwa wakikosea sana pale wanapotaka  kuwapaisha wasanii wasio na uwezo mkubwa na kuwaacha wale wenye vipaji vikubwa ni kibaya, kwani ni sawa na kumuua mtu.

Akiongea katika mahojiano na radio moja, Chid alitolea mfano kati ya wasanii wawili wa Bongofleva Alikiba na Jux, Chidi Benz amesema kwamba iwapo utampaisha Jux zaidi na kumuacha Alikiba, ni sawa na kumuua Alikiba kiakili, kwani wawili hao hawawezi kulinganishwa kulingana nauwezo mkubwa laionao Alikiba.

anasema “Jux sio msanii mkali, wanachomfanyia hawamfanyii hata Alikiba, mnamuua Alikiba kwa mawazo, mnachamnganya Alikiba kiakili, mnamtengua Alikiba kikazi, anakuwa anamuwaza waza Jux, watu wanamuangalia Jux, mnawaua waimbaji”, amesema Chidi Benz.

Kutokana na hilo Chid Benz amewataka kusapoti kazi za watu wenye vipaji kweli na kuacha kubagua kwa sababu yoyote ile, ili game iweze kukua zaidi na kuokoa wasanii wenye uwezo kutoanguka.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad