Mr,Misifa "Diamond Platnumz Alikuwa Hajui Kuimba"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aliyewahi uwa meneja wa msanii Daimond platinumz kipindi anaanza muziki, Mr Misifa amefunguka na kusema kuwa kipindi diamond anamfuata na kutaka amsimamie alikuwa hajui kuimba kabisa lakini alimkubali na kuanza kufanya nae kazi.

Hata hivyo Mr misifa anasema kuwa kwa sababu alikuwa hajui kuimba hakumkataa lakini aliamua kumuweka pembeni wa muda wa miaka miwili ili kumtengeneza kbala ajaanza kutoka na wimbo wake wa kamwambie.

Papa Misifa ndie aliekuwa meneja wa kwanza wa msanii Diamond ambae ndie aliemtoa katika game na hata katika wimbo wae wa kwanza wa Kamwambie alitokea katika video hiyo, na yeye pia amekuwa moja ya watu wanaojivunia sana mafanikio ya msanii huyo.

Ghafla

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad