AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyetoweka ni Mwaharakati wa Haki za Binadamu, Bi. Caroline Mwatha
Alijikita katika kuandaa makala ya kiuchunguzi kuhusu mauaji ya watu huko Dandora Kenya mwezi Oktoba mwaka 2018
Ametoweka Alhamisi ya wiki iliyopita. Umoja wa watetezi wa haki za binadamu Kenya umeitaka Serikali kuongeza juhudi za kumsaka
Gavana wa Nairobi, Mike Sonko atangaza dau la Milioni 6.9 za Kitanzania kwa atakayefanikisha kupatikana kwake
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK