Uchebe "Nilimkataza Mke Wangu Kujiboost na POMBE Kabla ya Kupanda Jukwaani Kupiga Show"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kuna baaadhi ya wasanii ambao wamekuwa wakifanya ama desturi kubwa pombe kabla ya shoo kwa ajili ya kujiboost na kuondoa aibu ya kupanda juwaani ili kuwa-face mashabiki.

Kumbe hii pia ilikuwa ni tabia ya mwanadada Shiloleh ambae ameuwa akinywa pombe kabla ya shoo ili kuwaface mashabiki, sasa basi mume wa msanii huyo anafunguka na kusema alimkataza kabisa mwanadada huyo kufanya hivyo.

Wakiongea katika kipindi cha Leo tena cha Clouds Media, Uchebe anasema kuwa aliamua kumtaza kabisa mke wae kufanya hivyo na kumtaka kuwa kama yeye pale anapoenda kukutana na mashabiki zake ili kujua uwezo wae kwa mashabiki, lakini hiyo pia inamfanya utofanya vitu vya aibu ambayo mwisho wa shoo anaweza  kujta kwanini alifanya.

"Nilimwambia usitumie kilaji chochote abla ya kupanda jukwaani, anasema asipokunywa anaona watu sio wengi, nashukuru Mungu wa sasa hafanyi hivyo tena na hata akinywa ni kiasi kidogo sana."
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad