AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa Muziki, Vanessa Mdee amefunguka sifa za mtu anayetaka kufanya nae kazi ya Muziki.
Vanessa amesema ili uweze kufanya kazi nae anataka u serious wa mtu kabla ya kuingia studio huku akieleza kuwa kuna watu wana bahatisha kwenye sanaa.
"Kikubwa mimi nataka kuoa u serious na mtu, kabla hata hatujaingia studio, unajua kuna watu wanabahatisha kwenye sanaa yaani wanajaribu jaribu mi sitaki mtu anayekuja kujaribishia, tusifanye fanye tufanye kazi," alisema Vanessa kwenye mahojiano yake na Wasafi Tv.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK