AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Zitto amewasili katika ofisi mpya za ACT- Wazalendo zilizopo Vuga, Unguja ambazo awali zilikuwa makao makuu ya Chama cha Wananchi (CUF) visiwani humo.
Baada ya kuwasili katika ofisi hizo , Maalim Seif alimpokea Zitto huku mamia ya wana ACT- Wazalendo wakimpokea kwa nyimbo mbalimbali.
Zitto na Maalim walivalishwa mataji kisha wakaenda kukaa eneo maalum lililoandaliwa.
Alipopewa fursa ya kusalimia, Zitto amesema, “Nina furaha sana leo, nataka kuwahakikishia tumeshashusha tanga, tumeshapandisha tanga, safari inaendelea.”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK