Makosa Wanayofanya WANAUME Walio Kwenye Ndoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



  1. Kuja na vimada mpk home na kumuacha ndani ya gari
  2. Kuingia ndani na viatu vya matope wakati kumeshadekiwa
  3. Kuvurugua nguo au vitu wakati wa kutafuta kitu kabla ya kuuliza kilipo.
  4. Kumtambulisha mtoto wako kwa kimada wako.
  5. Kumleta rafiki yake kuja kula bila kutoa taarifa.
  6. Kumsifia rafiki au ndugu wa mke wa kike kuwa anavutia bila hofu.
  7. Kukosoa muonekano wa mke bila kujali atajisikiaje.
  8. Kutosema chochote mke akipendeza mpaka aulize.
  9. Kujifutia taulo na kuliacha ovyo bila kulianika
  10. Kutotandika bed mke asafiripo na kugeuza bed kama kiota cha ndege
  11. Kutofua boxer na socks zake hadi wife awepo na kama kasafiri zitasubiri arudi
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad