AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jumapili ya February 9,2019 Rapper Nicki Minaj aliahirisha show yake nchini Ufaransa tatizo likitajwa ni la kiufundi (mitambo ya sauti) na hivyo kupitia ukurasa wa instagram aliomba radhi kwa mashabiki kutokana na show hiyo kutofanyika.
Kwa upande mwingine wa mashabiki walionekana kutokubaliana na msamaha huo uliotolewa na Nicki Minaj na hivyo kuanzisha fujo nje ya hoteli alipofikia Rapper huyo na kuanza kulitaja kwa nguvu jina la Cardi B ambaye anahusishwa kuwa na ugomvi kwa muda mrefu na Nicki Minaj.
Inaelezwa pia February 22,2019 Nicki Minaj aliahirisha show yake mjini Bratislava nchini Slovakia kwa matatizo ya kiufundi pia lakini Nicki Minaj ametoa sababu nyingine na kusema kuwa eneo lililoandaliwa kwa ajili ya kufanya show lilionekana kutokuwa na umeme wa kutosha.
“Naenda chini kuona mashabiki zangu,jengo au Juice Wrld hawakutaka nifanye show usiku wa leo, walituacha tufanye majaribio ya sauti na wakasema jengo halina umeme wa kutosha kufanya show iendelee, kaeni tayari kupokea barua rasmi kutoka kwa promoters , Naombeni msamaha”Nicki Minaj
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK