AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Dkt. Ndugulile amesema hayo wakati akizungumzia maadhimisho ya Siku ya Figo Duniani Jijini Dodoma iliyobeba kauli mbiu isemayo Afya ya Figo kwa kila mmoja kwa kila mahali.
Amesema kuwa watanzania wengi wamekua wakitumia Dawa kiholela bila ya kupima na kufuata ushauri wa Daktari hasa matumizi ya Dawa za maumivu kila wanapohisi kupata maumivu ya kichwa kwani hivi sasa wagojwa wa Figo wanaendelea kuongezeka nchini.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK