AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nchini hizo zina waathirika wa kimbunga Idai kilichosababisha mafuriko na vifo vya watu wengi, takribani watu 2,000 wamefariki dunia.
"Sala na maombi yangu yawe nanyi wananchi wa Msumbiji,Zimbabwe na Malawi kwa maafa ya kimbunga idai. Pia poleni wananchi mliopotelewa na ndugu na jamaa.Watanzania tunawaombea sana please kind pray for Mozambique, Zimbabwe and Malawi.
Utambukakuwa tayari serikali ya Tanzania imetoa msaada wa Chakula, Dawa, magodoro, shuka, blanketi na vyandarua kwa nchini hizo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK