AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akilihutubia Baraza la Haki za Binaadamu la Umoja wa Mataifa, Bachelet pia ameelezea wasiwasi kuwa vikwazo vya karibuni vya Marekani kwenye biashara za kifedha zinazohusisha mauzo ya mafuta ya Venezuela huenda vikachangia katika kuufanya mgogoro wa kiuchumi kuwa mbaya zaidi.
Ameliambia baraza hilo kuwa serikali ya Venezuela ilishindwa kutambua kiwango cha mzozo wa kiafya na uhaba wa chakula ambavyo vimewafanya Wavenezuela milioni 3 kuhamia nchi za ng'ambo na wakashindwa kuchukua hatua za kutosha kuikabili hali hiyo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK