AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baadhi walilazimika kuacha ofisi zao huku waliopo nyumbani nao wakitoka nje ya nyumba zao, hata hivyo hakuna madhara yaliyoripotiwa hadi sasa.
Kwa mujibu wa tovuti ya Earthquake Track kumetokea tetemeko la ardhi lenye ukubwa (magnitude) 5.1 mjini Sumbawanga. Baadhi ya wakazi wa mkoani Mbeya pia wameripoti kutokea kwa tetemeko la ardhi mkoani humo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK