Wasanii Mliokuwa Mnabaniwa na Ruge Huu ndo Muda wa Kuthibitisha Kauli zenu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kuna baadhi ya wasanii walitamka waziwazi na wengine kwa kificho kwamba aliekuwa mkuu wa vipindi na uzalishaji wa Clouds Media marehemu Ruge Mutahaba alikuwa kikwazo wao kushine na kupiga hatua maarufu Kama kuwabania.

Kwa mipango ya Mungu Ruge hatunae Tena Sasa wale walikuwa wanasema jamaa ndo kikwazo Ni muda muafaka wa kithibitisha kauli zenu kwa matendo

--Tuone mkitoa nyimbo kali
--Mkifanya matamasha makubwa Tanzania
--Mkifanya matamasha makubwa nje ya Tanzania
--Mkipata ubalozi wa makampuni mbalimbali
--Mkishinda tuzo mbali mbali za kimataifa

Mziki wa Bongo fleva kwa Sasa Kama umestack flani hivi tofauti na miaka ya 2015 hadi 2017 ambapo ulikuwa unakuwa kwa kasi na ushindani mkubwa.

By Brave One
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad