Zitto Kabwe Afunguka Maalm Seif Kuhombea Urais 2020

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Zitto Kabwe Afunguka Maalm Seif Kuhombea Urais 2020
Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amefunguka juu ya suala la nani atapewa ridhaa na chama kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.

Akijibu swali la mwandishi lilohoji kuhusu habari zinazosemwa mitandaoni kuwa mwanachama mpya Maalim Seif ndiye atakuwa mgombea wa kiti hicho mwakani, ambapo alidai kuwa kwenye siasa siku moja ni kama mwaka mzima.

"Katika siasa hakuna mwanachama mgeni, kwani siku moja katika siasa ni kama mwaka mmoja", amesema Zitto.

Mapema Jumatatu ya Machi 18, 2019, Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es salaam ilitangaza kutambua uhalali wa mwenyekiti wa chama cha wananchi (CUF) anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa Profesa Ibrahim Lipumba, kufuatia mgogoro wa CUF uliodumu kwa zaidi ya miaka 3.

Kufuatia maamuzi hayo ya Mahakama, majira ya saa nane mchana Machi 18, 2019, Maalim Seif alitangaza uamuzi wa kuhamia Chama cha ACT- Wazalendo kwa kile alichokidai amesoma katiba za vyama vingine na kubaini masharti ya chama hicho ni nafuu zaidi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad