Bieber Apandishwa Mahakamani Baada ya Kumgonga Mpiga Picha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MWANAMUZIKI maarufu wa Canada, Justin Bieber,  anashtakiwa kwa kumngonga na gari mpigapicha mmoja wakati akitoka kanisani mjini Los Angeles, Marekani,  mwaka 2017. mtandao wa The Blast umeripoti.



Mpiga picha huyo, William Wilson,  amesema alikuwa amesimama upande wa waenda kwa miguu  kabla ya ajali hiyo ambayo imemsababishia ulemavu na matatizo ya kisaikolojia



Hata hivyo,  mwimbaji huyo alijitetea akiwaambia waandishi waliokuwepo eneo hilo kuwa hakufanya hivyo makusudi bali ni kutokana na matatizo  ya kiafya aliyokuwa nayo siku hiyo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad