AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo yamejiri baada ya daktari wa kituo hicho Dr. Japhet Kivuyo kudaiwa kufukuzwa kazi na Katibu Mwenezi wa CCM Kata ya Levelosi kwa madai ya kutokutwa kazini wakati wa muda wa kazi.
Akitoa pongezi hizo kwa niaba ya chama hicho, Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Arusha, Sapulani Ramsey, amesema ilani imesimamiwa vizuri na si taaluma na kueleza kuwa wao kama chama hawana mamlaka ya kumfukuzisha daktari kazi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK