CCM Yampongeza Katibu Mwenezi Arusha Baada ya Kushughurikia Uzembe wa Madaktari

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimempongeza Katibu Mwenezi wa chama hicho katika Kata ya Kata ya Levelosi baada ya kushughulikia uzembe unaodaiwa kufanywa na watendaji wa Kituo cha Afya Ngarenaro kilichobo Arusha mjini.



Hayo yamejiri baada ya daktari wa kituo hicho Dr. Japhet Kivuyo kudaiwa kufukuzwa kazi na  Katibu Mwenezi wa CCM  Kata ya Levelosi kwa madai ya kutokutwa kazini wakati wa muda wa kazi.



Akitoa pongezi hizo kwa niaba ya chama hicho, Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM Arusha, Sapulani Ramsey, amesema ilani imesimamiwa vizuri na si taaluma na kueleza kuwa wao kama chama hawana mamlaka ya kumfukuzisha daktari kazi.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad