AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kremlin inasema kuwa viongozi hao watakutana katika mji wa pwani wa Vladivostok siku ya Alhamisi, na watazungumzia masuala ya usalama katika rasi ya Korea "tatizo la nyuklia".
Kim anatafuta washirika wapya baada ya mazungumzo yake na Rais wa Marekani Donald Trump kutibuka, wachambuzi wanasema.
Bw. Trump na Kim walikutana mjini Hanoi mapema mwaka huu kujadili mpango wa nyuklia wa Korea Kaskazini, lakini mkutano huo uliisha bila viongozi hao kukubaliana
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK