AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MSANII aliyeibukia kwenye Bongo Fleva, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’ amesema kuwa anasumbuliwa na ndoto za mwanamuziki mwenziye ambaye waliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi, David Ganze ‘Young D’. Akizungumza na Lulu alisema kuwa amekuwa kwenye wakati mgumu kwa sasa na haelewi kwa nini amemmisi sana mpenzi wake huyo wa zamani na kuna wakati anatamani kumfuata maana ndoto juu yake zimekuwa zikimtesa.
“Yaani sijui ni lini nimelala bila kumuota huyu mtu jamani, amekuwa akisumbua sana akili yangu na kama ananisikia apokee kilio changu,” alisema Amber Lulu huku akisisitiza kuwa amemkumbuka na hawezi kumwambia laivu.
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK