Mwanzilishi wa WIKLEAKS Akamatwa Uingereza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanzilishi wa WIKLEAKS akamatwa Uingereza
Polisi wa Uingereza wamemkamata Muasisi wa mtandao wa habari chokonozi ‘Wikileaks’, Julian Assange katika Ubalozi wa Ecuador Jijini London Uingereza.

Assange alikimbilia katika Ubalozi huo miaka 7 iliyopita kuomba hifadhi ya kisiasa akihofia kukamatwa na kurejeshwa nchini Sweden ambako alikuwa akikabiliwa na mashtaka ya ubakaji wa Wanawake wawili nchini humo.

Ecuador imesema imemuachia Assange kwa kurudia kukiuka mikataba ya Kimataifa na wakati huo huo Polisi na wao wamesema wamemkamata Assange kwa kushindwa kujisalimisha Mahakamani.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad