AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Klabu ya Juventus imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Seria A hapo jana baada ya kuinyuka klabu ya Fiorentina magoli 2-1 na kufikisha alama 87.
Magoli ya Juventus yalifungwa na Alex Sandro na Pezzela aliyejifunga na goli la Fiorentina lilifungwa na Nikola Milenkovic.
Huu unakua ubingwa wa 8 mfululizo kwa Juventus.
Kwa ubingwa huu unamfanya Ronaldo kuwa mchezaji pekee kuwahi kunyakua ubingwa wa Ligi akiwa Hispania, Uingereza na Italia.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK