AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh Job Ndugai, amesema kuwa kilichowasilishwa na CAG Bungeni sio ukweli halisi kwani kwa mjibu wa ripoti yake Bunge ndio chombo kinachotakiwa kufuatilia kwa undani na kufanya uchunguzi makini kwa kuwaita watuhumiwa ambao taarifa zao zimeonyeshwa na ripoti ya CAG kuwa wanamapungufu kadhaa alafu tuhitimishe kwa kauli moja kuwa kweli hao wote wanaotuhumiwa na Ripoti ya CAG wanamakosa.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK