VIDEO: Kilichowekwa mezani na CAG sio ukweli - Spika Ndugai

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh Job Ndugai, amesema kuwa kilichowasilishwa na CAG Bungeni sio ukweli halisi kwani kwa mjibu wa ripoti yake Bunge ndio chombo kinachotakiwa kufuatilia kwa undani na kufanya uchunguzi makini kwa kuwaita watuhumiwa ambao taarifa zao zimeonyeshwa na ripoti ya CAG kuwa wanamapungufu kadhaa alafu tuhitimishe kwa kauli moja kuwa kweli hao wote wanaotuhumiwa na Ripoti ya CAG wanamakosa.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI:

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad