AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baraza hilo lenye wajumbe 10 liliwaalika viongozi wa maandamano kwa mazungumzo baada ya waandamanaji hao kuahirisha mkutano wa Jumapili na viongozi wa kijeshi.
Msemaji wa baraza hilo la kijeshi Luteni Jenerali Shamseddine Kabbashi hakutoa maelezo zaidi juu ya madai makubwa ya waandamanaji hao ya kutaka serikali ya kiraia lakini amesema hakuna tena mzozano mkubwa kati yao.
Mmoja wa viongozi hao wa maandamano ya Sudan aliyeshiriki mkutano huo Ahmed al-Rabia amesema pande zote mbili zimekubaliana kuunda kamati ya pamoja lakini hakutoa maelezo zaidi.
Dakika chache baadaye katika taarifa tofauti baraza la kijeshi likatangaza kujizulu kwa wajumbe wake watatu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK