AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kituo cha Redio kinachomilikiwa na Serikali kimearifu kuwa Mkuu wa Majeshi Kamal Andel-Marouf ameapishwa kuwa makamu wa rais wa baraza hilo.
Hatua hii imekuja huku waandamanaji wakilalamika kwamba utawala huo wa kijeshi haukumaanisha mabadiliko, na kuahidi kuendelea kuandamana hata baada ya hapo jana kutangazwa kwa sheria inayozuia raia kutembea Usiku wa kuanzia saa 4 hadi saa 10 alfajiri.
Rais Omar al Bashir wa Sudan aliyetawala kwa miaka 30, jana Alhamisi alipinduliwa na kukamatwa kufuatia miezi kadhaa ya maandamano ya kuipinga serikali. Rais Omar al-Bashir aliyetawala Sudan kwa miaka 30 amepinduliwa na kukamatwa baada ya miezi kadhaa ya maandamano makubwa yaliyoipinga serikali.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK