Wema Awafunda Wasanii Wenzake Juu ya Maisha Yao ya Baadae

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wema awafunda wasanii wenzake juu ya maisha yao ya baadae
Muigizaji wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu amewashauri wasanii wenzake kutengeneza malengo yao katika uigizaji ili kujipa uthamani ambao utawasaidia hata pindi wakizeeka.


Akizungumza katika kongamano la waigizaji lililoandaliwa na Bodi ya Filamu wakishirikiana na Chama cha Waigizaji Taifa lililofanyika Jijini Dar es Salaam , Wema amesema muda sasa umefika wa wasanii kujitengenezea thamani katika uigizaji.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad