Baada ya miaka mitatu Boss wa TP Mazembe arejea nyumbani toka uhamishoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanasiasa maarufu wa upinzani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Moise Katumbi Chapwe, amerejea nyumbani mjini Lubumbashi nchini baada ya kuishi uhamishoni nchini Ubelgiji, amepokelewa na maelfu ya wafuasi wake.

Katumbi amekuwa akiishi nje ya nchi hiyo kwa karibu miaka mitatu, baada ya kukimbilia nje ya nchi kwa sababu ya tofauti za kisiasa na Rais wa zamani wa DRC Joseph Kabila.
Akiwa Ubelgiji Katumbi alifunguliwa mashtaka ya kuuza nyumba ambayo sio ya kwake na akahukumiwa jela miaka mitatu, lakini baadaye mashataka hayo yakafutwa.

Mwaka 2018, alijaribu kurejea nyumbani kuwania Urais lakini akazuiwa na Maafisa wa usalama alipofika katika mpaka wa Kasumbalesha, upande wa Zambia.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad