Beka Flavour Adai Bifu la Aslay na Mbosso Mitandaoni ni Mzigo kwake ‘Mimi ni Kaka yao, ila Siwezi Kuwapigia Simu’

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Beka Flavour amesema kuwa ameshtushwa na kushangazwa na mtafaruku uliopo kati ya Mbosso na Aslay unaoendelea mitandaoni.


Beka akiongea na Bongo5, amesema kuwa alimuona Mbosso kwenye interview moja akimtuhumu Aslay kuwa amemu-unfollow na hana sapoti ya kutosha kwake ingawaje yeye amekuwa akimuoneshea upendo kwa kusapoti kazi zake jambo ambalo limemfanya na yeye amfutilie mbali kwenye mtandao wa Instagram.

Beka Flavour amesema yeye nin kaka yao na kipindi cha nyuma alikuwa anawashauri lakini kwa sasa hawezi kufanya hivyo kwa sababu kila mtu yupo na menejimenti yake.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad