Mnyika Ataka Baraza la Mawaziri Livunjwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mbunge wa Kibamba John Mnyika (Chadema) ,amemwomba Rais Dk.John Magufuli alivunje Baraza la Mawaziri kwa kumshauri vibaya katika suala la Korosho.

Kauli hiyo ameitoa leo bungeni Mei 20 wakati akichangia mjadala wa Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Kilimo, kwa mwaka wa fedha 2018-2019.

Mnyika amesema Baraza la Mawaziri linatakiwa kuwajibishwa kwa kumshauri vibaya Rais Dk.John Magufuli katika suala la Korosho kwani kwa sasa Korosho inaoza kutokana na kukosekana kwa wanunuzi.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad