IGP Sirro awaongoza Maofisa Wakuu usajili wa line za simu kwa alama za vidole

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro amewaongoza Makamishna na Maofisa Wakuu Waandamiazi wa Jeshi hilo katika zoezi la usajili wa line za simu kwa kutumia alama za vidole linaloendeshwa kupitia makampuni mbalimbali ya simu za mkononi.

Akizungumza kabla ya kufanyika kwa zoezi hilo, IGP Simon Sirro amesema kuwa, zoezi la usajili kwa alama za vidole litasaidia katika kubaini uhalifu na wahalifu na kwamba hakuna mtu atakayeweza kujificha ili asibanwe na mkono wa sheria pale anapojihusisha na uhalifu ukiwemo wa kimtandao.

Aidha, IGP Sirro ameendelea kuwaonya wafanyakazi wa makampuni ya simu kuwa waaminifu wakati wanapotekeleza majukumu yao ili kujiepusha kujiingiza kwenye matukio ya kihalifu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad