AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza kabla ya kufanyika kwa zoezi hilo, IGP Simon Sirro amesema kuwa, zoezi la usajili kwa alama za vidole litasaidia katika kubaini uhalifu na wahalifu na kwamba hakuna mtu atakayeweza kujificha ili asibanwe na mkono wa sheria pale anapojihusisha na uhalifu ukiwemo wa kimtandao.
Aidha, IGP Sirro ameendelea kuwaonya wafanyakazi wa makampuni ya simu kuwa waaminifu wakati wanapotekeleza majukumu yao ili kujiepusha kujiingiza kwenye matukio ya kihalifu.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK