Kuomba Hela Ovyo Kulinigombanisha na Wazazi - Aunt Lulu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kuomba Hela Ovyo Kulinigombanisha na Wazazi - Aunt Lulu
MTANGAZAJI Lulu Semagongo ‘Aunt LuLu’ ameibuka na kuifunua siri yake aliyokuwa ameificha muda mrefu kuwa, alikuwa kero kwa wazazi wake kutokana na tabia yake ya kuomba hela ovyo kwa watu.  Akipiga stori na safu hii, Aunt Lulu alisema alikuwa na tabia ya kuomba hela ovyo kiasi kwamba ilikuwa akikutana na wewe ukiona amekusalimia ujue kinachofuata ni kuomba shilingi kumi.

“Nilikuwa nikiomba shilingi kumi kwa kila niliyekuwa namsalimia, haijalishi barabarani au nyumbani, wewe ukiona nimekusalimia kinachofuata ni kukuomba hela, tabia hiyo ilinifanya nikagombana sana na wazazi wangu kwani walikuwa wanakerwa na mara nyingi walinikanya kwa kunichapa,” alisema Aunt Lulu.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad